Friday, October 14, 2011

KUTHAMINIWA KWA WANYAMA ILIVYO 'TOFAUTI' KATI YA ULAYA NA AFRICA...


Kule kwetu barani Africa wanyama kama MBWA, PAKA na wengineo huwaq hawana 'THAMANI' kabsaaa wala haki ya kupata matunzo au huduma za Afya zinazostahili labda kwa watu wachache na tena ni wale wa sehemu za 'UZUNGUNI' ingawa mie Binafsi nawapenda Wanyama hawa na ninawafuga kule Home kwangu Kinondoni jijini Dar! Wakati Barani Ulaya wanyama hawa huwa wanathamini wa na kuheshimika mpaka kupandishwa kwenye Mabasi na Matrain kokote pale, hali ni tofauti na kule kwetu Africa ambapo wanyama hawa wanatumiwa zaidi Kishirikina na hata maranyingi kuteswa kama picha hii inavyoonesha hapo juu bila sababu za Msingi. Sasa kitendo kama hicho cha kumuweka mnyama 'MSALABANI' kawa hao mabwana walivyofanya kwenye picha wangekifanya hapa Ulaya, wangefungwa miaka mingi Gerezani na Faini juu...

No comments:

Website counter