Monday, September 12, 2011

HUYU NDIE GENEVIEVE NNAJI...


Huyu Bidada anaitwa GENEVIEV NNAJI, ni mcheza Filamu nyota wa kike kuliko woote nchini NIGERIA! Alizaliwa mjini MBAISE uliyo katika jimbo la IMO STATE nchini Nigeria mnamo Tar 3 may 1979 akiwa ni mtoto wa 4 kati ya wanane katika Familia yao. Ameshashiriki kucheza Movie nyingi saanaaa na ndie mcheza Filamu anayelipwa pesa nyingi kucheza kwa Filamu moja! Na kwasababu ya Urembo wake ameshafanya matangazo ya Bidhaa kibao kama vile Vinywaji, Sabuni na Mafuta ya urembo!

GENEVIEVE hajaolewa ingawa amebahatika kuzaa mtoto mmoja aitwae JILIET ambaye alimzaa akiwa shuleni na yeye na huyo Binti yake wanafana sana kama huwajui vizuri, hebu waangalie mwenyewe pichani hapo juu wanavyofanana...

Sasa kuna habari kwamba yeye GENEVIEV na mwanamuziki D'BANJ wana uhusiano wa bwana na bibi ingawa wenyewe wanakanusha vikali wkt karibu kila sehemu wanaenda pamoja sasa kwanini watu wasisemeeee...

1 comment:

mdadisi said...

huyu jamaa si mtu wa mizigo mikubwa huyu sasa hiki kibajaji kitamfaa kweli,maana alikwama kwa dadaetu mmoja mwenye bonge la mzigo ambae ukimliganisha na geneviev nia sawa na mtu wa uzito wa unyoya ukamlinganisha na heavy weight!

Website counter