Friday, April 15, 2011

KAENI MKAO WA KULA KUPATA BOONGE LA 'MOVIE' KATI YANGU NA AUNT EZEKIEL, PICHA ZINGINE BAADAE...


Hii ni 'SCENE' ya Ufukweni nikiwa na AUNT EZEKIEL ambayo pia tulifunika sana kwenye hii Movie yetu itakayotoka soon...

Mambo juu ya mambo, HAATWAARRIIIII....

Cameraman wangu huyu anaitwa AMANI, ni mkali sana na amefanya kazi kuubwa saana kushooot hii Movie daah...

Hii ni 'SCENE' ya nyumbani kwangu nikiwa na rafiki yangu STEVE SANDHU...

No comments:

Website counter