Monday, December 13, 2010

DK REMMY ONGALLA HATUNAE TENAA...

Mwanamuziki Nguli nchini DK REMMY ONGALLA ambaye juzi nilimripoti kwenye Blog hii kwamba ameshatoka Hospital na kurudishwa Home, amefariki usingizini usiku wa jana saa 9 usiku kwa ugonjwa wa kisukari. Utaratibu wa mazishi bado haujajulikana na tutaendelea kujuzana zaidi kinachoendelea kadri muda unavyokwenda...

No comments:

Website counter