Sunday, October 3, 2010

SIKU MASHUJAA MUSICA BAND NA FERRE GOLLA WALIVYOWASHA SEBENE LA MOTO JIJINI JANA USIKU...


Walianza wenyeji wa Onesho hilo bendi ya MASHUJAA MUSICA ambao walitumia fursa hiyo kuzindua pia Album yao mpya na baada ya hapo kilichofuata ni Sebene la hatwaariii...
Na kwa hakika bendi ya MASHUJAA MUSICA itakuwa tishio sana muda si mrefu kutokana na kupiga muziki unaoeleweka pamoja na uchanga wao, nawapa Hongera zao...

Nikiwa nimepozi na Washkaji zangu RAY na KANUMBA ambao ni wacheza Filamu mahiri nchini tukifuatilia Mavituz ya MASHUJAA Musica huku tukimsubiri mwanamuziki maarufu wa CONGO FERRE GOLLA nae apande jukwaani...

Hapa nikibadilishana mawazo na Swaiba wangu IRENE UWOYA, mcheza filamu mahiri wa kike nchini...

Nikiwa Backstage na mwanamuziki mdogo kuliko wote katika Bendi ya FERRE GOLLA aitwae SHIKITO kabla ya kupanda jukwaani ambako mie nilikuwa ndio MC wa shughuli hiyo kubwa jana usiku ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar...









































































































































































No comments:

Website counter