Tuesday, July 6, 2010

JE WAJUA KWAMBA....


Pamoja na kutimiza mwaka mmoja tangu kifo chake ivi majuzi, je wajua kwamba kati ya Marapa woote wa miondoko ya kufokafoka mwanamuziki ze legend kwenye sayari hii Hayati MICHAEL JACKSON moyoni mwake alikuwa anamzimia zaidi Rapa JAY'Z? Habari ndio hiyo kijana...

No comments:

Website counter