Saturday, July 10, 2010

HATIMAYE JERRY MURO AFUTIWA MASHTAKA YAKE...


Ile kesi ya Utapeli anayotuhumiwa Mtangazaji wa zamani wa ITV ambaye kwasasa anapiga mzigo na TBC1 bwana JERRY MURO hatimaye imefutwa baada ya Mlalamikaji bwana EDUARDO CHAMUHENE ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa Boneste General Enterprises ya jijini kuamua KUMSAMEHE! Inadaiwa apo awali Jerry alimkopa uyo bwana sh Milioni 1.5 kwa ajili ya kwenda kutoa gari yake Bandarini na baada ya miezi 2 Jerry alipunguza deni kwa kumlipa m1 na kubaki laki 5 iliyomfikisha Mahakamani Hapo jana!

No comments:

Website counter