Sunday, July 4, 2010

AAH MAMBO YA 'CHANGU KWA NGUNA', CHEZEA WEWEE...


Daa daaa daaa ebwanaa eeeeh mambo ya samaki CHANGU, pembeni kuna Nguna ya haja na mchuzi wa kubabia duuh, mie nimeipenda iyo sahani ya kushoto bwana looh, inanikumbusha mbaali sanaaaa...

No comments:

Website counter