Tuesday, June 29, 2010

MWANAMUZIKI SHAKIRA AKIMWAGA 'UNO' UKO KWA MANDELA JUZI...


Mwimbaji mwenye mvuto Duniani SHAKIRA, juzi alitumia muda wake mwingi kuwafundisha watoto wa kitongoji maarufu nchini Africa ya Kusini kiitwacho SOWETO jinsi ya kuucheza vizuri wimbo wake maalum wa Kombe la Dunia na alisema kauli mbiu yake katika Kombe hilo mwaka huu ni 'elimu kwa wote', palikuwa hapatoshi siku hiyo lol...

No comments:

Website counter