Tuesday, June 29, 2010

DUUH SIKIA HIYOO MUPYAA...

Golikipa wa timu ya taifa ya Ujerumani MANUEL NEUER leo kwenye mahojiano na Television moja ya Ujerumani amekiri kumdanganya refu ili asilikubali goli la jana la England kwa kugeuka haraka kuukamata mpira baada ya kudunda kutoka kwenye mlingoto wa goli 'aka' mwamba 'aka' mtambaa panya na kusema hayo mambo yapo kwenye michezo yoote duniani kutegemea na hali ilivyo kwenye mchezo duuh! Je ingekuwa kipa wa kiBongo angekubali kwamba kafanya udanganyifu ili aisaidie timu yake? si angebisha mpaka Yesu arudi...

No comments:

Website counter