 Golikipa wa timu ya taifa ya Ujerumani MANUEL NEUER leo kwenye mahojiano na Television moja ya Ujerumani amekiri kumdanganya refu ili asilikubali goli la jana la England kwa kugeuka haraka kuukamata mpira baada ya kudunda kutoka kwenye mlingoto wa goli 'aka' mwamba 'aka' mtambaa panya na kusema hayo mambo yapo kwenye michezo yoote duniani kutegemea na hali ilivyo kwenye mchezo duuh! Je ingekuwa kipa wa kiBongo angekubali kwamba kafanya udanganyifu ili aisaidie timu yake? si angebisha mpaka Yesu arudi...
Golikipa wa timu ya taifa ya Ujerumani MANUEL NEUER leo kwenye mahojiano na Television moja ya Ujerumani amekiri kumdanganya refu ili asilikubali goli la jana la England kwa kugeuka haraka kuukamata mpira baada ya kudunda kutoka kwenye mlingoto wa goli 'aka' mwamba 'aka' mtambaa panya na kusema hayo mambo yapo kwenye michezo yoote duniani kutegemea na hali ilivyo kwenye mchezo duuh! Je ingekuwa kipa wa kiBongo angekubali kwamba kafanya udanganyifu ili aisaidie timu yake? si angebisha mpaka Yesu arudi...www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Tuesday, June 29, 2010
DUUH SIKIA HIYOO MUPYAA...
 Golikipa wa timu ya taifa ya Ujerumani MANUEL NEUER leo kwenye mahojiano na Television moja ya Ujerumani amekiri kumdanganya refu ili asilikubali goli la jana la England kwa kugeuka haraka kuukamata mpira baada ya kudunda kutoka kwenye mlingoto wa goli 'aka' mwamba 'aka' mtambaa panya na kusema hayo mambo yapo kwenye michezo yoote duniani kutegemea na hali ilivyo kwenye mchezo duuh! Je ingekuwa kipa wa kiBongo angekubali kwamba kafanya udanganyifu ili aisaidie timu yake? si angebisha mpaka Yesu arudi...
Golikipa wa timu ya taifa ya Ujerumani MANUEL NEUER leo kwenye mahojiano na Television moja ya Ujerumani amekiri kumdanganya refu ili asilikubali goli la jana la England kwa kugeuka haraka kuukamata mpira baada ya kudunda kutoka kwenye mlingoto wa goli 'aka' mwamba 'aka' mtambaa panya na kusema hayo mambo yapo kwenye michezo yoote duniani kutegemea na hali ilivyo kwenye mchezo duuh! Je ingekuwa kipa wa kiBongo angekubali kwamba kafanya udanganyifu ili aisaidie timu yake? si angebisha mpaka Yesu arudi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
No comments:
Post a Comment