Warembo wa Mujini wakila pouzi kwenye Camera ya KINYAIYA'S BLOG, kulia ni mwigizaji maarufu wa Filamu nchini SHUMILETA...
Chec hawa Mapacha walivyofanana kama chupa za bia, yaani ni vifumu kuwatofautisha ukikutana nao uso kwa uso duuh ila uyo wa kulia ni mtundu na machachari zaidi ya mwenzie...
Nikiwa na mwimbaji wa AKUDO IMPACT TARCIS MASELLA aka 'joto' katikati, na rapa maarufu aliejiunga ivi karibuni na MACHOZI BAND ya Jide MAO SANTIAGO kulia...
No comments:
Post a Comment